WELCOME TO THE SPIRITUAL,POLITICAL, SOCIAL AND ECONOMICAL BLOG..NO ABUSIVE LANG IS ALLOWED, FOR ADVERTISEMENT CALL. +255713226808
MC ON THE MOVE... BOOK HIM 0712226808
FOR YOUR WEDDING, SENDOFF, CRUSADE FUND RISING EVENT.CALL 07132268
Thursday, June 21, 2012
MDEE NA NGEREJA NI KASHESHE, soma hii ndani ya Lawrence the president.blogspot.com
Wakati mjadala wa kuchangia Bajeti unaoendelea mjengoni Dodoma pametokea kurushiana maneno makali na ya kejeli pale panapotokea kutokukubaliana kati ya wabunge wa chama kinachotawala na wale wa upinzani hasa CHADEMA, hilo limejidhihirisha pale ambapo Ngereja alipokuwa akijitutumua kupinga baadhi ya vipengele vilivyiomo katika bajeti ya Chadema iliyosomwa hivi karibuni na Mh. Zito Kabwe.
Baada ya Ngereja kuiponda bajeti ya CHADEMA ndipo Mh. Mdee alipoomba kutoa taarifa yake na kuanza na kusema "nazani Ngereja ana uchungu wa Kuondolewa katika Balaza la Mawaziri. ndipo Spika alipomtaka Mdee kufuta kauli yake na yeye kufanya hivyo.
kijana kazi nzuri
ReplyDeleteahsante Seth, na wewe pia ur doing great job. thanx kwa kunitia moyo
Delete