MC ON THE MOVE... BOOK HIM 0712226808

MC ON THE MOVE... BOOK HIM 0712226808
FOR YOUR WEDDING, SENDOFF, CRUSADE FUND RISING EVENT.CALL 07132268

Friday, November 16, 2012

ISRAEL HAPATOSHI, WATATU WAUAWA

Kumetokea milipuko ya Makombora Nchini Islael yanayosemekana kwamba yameua waisrael watatu, hayao yamesemwa hivi karibuni na serikali ya Nchi hiyo yenye ugonvi wa muda mrefu sana na Palestina…waisraeli hao watatu wameuwawa baada ya  kombora rlililofyatuliwa kutoka Ukanda wa Gaza kutua karibu na makazi ya raia hao
Inasema kombora hilo liliangukia jengo moja la ghorofa la makaazi mjini... Kiryat Malachi, kusini mwa Israel.


KOMBOLA LIKIRIPUKA KATIKATI YA MAJENGO NA MAKAZI YA WATU 


Kumetokea milipuko ya Makombora Nchini Islael yanayosemekana kwamba yameua waisrael watatu, hayao yamesemwa hivi karibuni na serikali ya Nchi hiyo yenye ugonvi wa muda mrefu sana na Palestina…waisraeli hao watatu wameuwawa baada ya  kombora rlililofyatuliwa kutoka Ukanda wa Gaza kutua karibu na makazi ya raia hao
Inasema kombora hilo liliangukia jengo moja la ghorofa la makaazi mjini... Kiryat Malachi, kusini mwa Israel.


LIKIRUSHWA HEWANI NA KUELEKEA LITAKAPOTUA 

Awali, inasemekana Wapelestina watatu waliuwawa katika shambulizi la ndege za jeshi la Israel dhidi ya Gaza.

Mwandishi wa BBC aliyeko Gaza anasema kuwa aliona moshi wa makombora yanayorushwa

HALI NI TETE  KATIKATI YA MJI WA  Kiryat Malachi, kusini mwa Israel. 

Mashambulizi haya yametokea baada ya Israel kumuua kiongozi mmoja wa kijeshi wa Hamas, Ahmed Jabari, pamoja na watu wengine 10 Jumatano.

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lakutana
Nalo Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limefanya mkutano wa dharura mjini New York ili kujadili mapigano hayo.
Rais wa baraza hilo, Hardeep Singh Puri wa India, alisema kwamba ni sharti mapigano hayo yakomeshwe mara moja.
Nchi za Kiarabu zilitaka baraza hilo liishtumu Israel, lakini Marekani ikasema kuwa Israel ilikuwa na haki ya kujihami dhidi ya makombora yanayorushwa na Wapelestina


WAZIRI MKUU AKIONGEA OFISINI KWAKE 

Awali, inasemekana Wapelestina watatu waliuwawa katika shambulizi la ndege za jeshi la Israel dhidi ya Gaza.

Mwandishi wa BBC aliyeko Gaza anasema kuwa aliona moshi wa makombora yanayorushwa.

 Mashambulizi haya yametokea baada ya Israel kumuua kiongozi mmoja wa kijeshi wa Hamas, Ahmed Jabari, pamoja na watu wengine 10 Jumatano.
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lakutana
Nalo Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limefanya mkutano wa dharura mjini New York ili kujadili mapigano hayo.
Rais wa baraza hilo, Hardeep Singh Puri wa India, alisema kwamba ni sharti mapigano hayo yakomeshwe mara moja.
Nchi za Kiarabu zilitaka baraza hilo liishtumu Israel, lakini Marekani ikasema kuwa Israel ilikuwa na haki ya kujihami dhidi ya makombora yanayorushwa na Wapelestina.

Source......gospelemmanuel.blogspot.com



Saturday, November 10, 2012

RAISI MTARAJIWA HUYU HAPA....


Kama kuna vitu vinanipa uhakika wa mimi kuja kuwa Raisi wa Nchi hii ni ile kitu inaitwa Strong Determination inayo tekenya na kuusumbua moyo wangu kila siku.. huwa nakumbuka miaka kadhaa iliyopita kabla sijaanza Shule kwa mara ya pili baada ya kuacha shule nikiwa form two mwaka 1994 huko mkoani Mbeya, nilikuwa ninajihusisha na biashara za Umachinga na mazao kama KARANGA NA ULEZI nikivitoa Nchini Zambia na kuleta Tanzania, wakati huo nakumbuka watu kama STEPHEN MWAISUMO NA FIKIRI, BILA KUMSAHAU BENJAMINI MWALUSAMBA ambao tulikua tunasafiri wote kwenda Zambia.

SIKU NAAPISHWA KUWA RAISI WA TUMAINI UNIVERSITY DAR ES SALAAM COLLEGE


Kitu cha ajabu ni kwamba wakati wote huo nilikuwa najutia sana maamuzi yangu ya kuacha shule kwani nilikua najua kama ningesoma ningekuwa President wa Nchi hii sasa ndo hivyo tena nilikua nimeacha shule.. mawazo na mateso ya moyoni yaliendelea kunitesa mpaka siku moja nilipoamua kurudi Shule tena nikiwa na Miaka 21 na nkaamua kuanza kidato cha kwanza kabisaa......


NIKIWA KWA KIKAO CHA MARAISI WA VYUO VIKUU KUJADILI MASUALA YA BODI YA MIKOPO UKUMBI WA DAR ES SALAAM INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE



nikiwa natamani sana kutokusomea mkoni mbeya ndipo nilipoamua kuhamia Jijini ar es salaam ambapo nilianza kidacho cha kwanza shule ya Kijitonyama na baadaye kuhamia Air Wing secondary, kisha A Level Lyamungo Kilimanjaro na kisha kuhamia MBEYA HIGH SCHOOL nilipomaliza kidato cha sita.. na baadaye kujiunga na CHUO KIKUU CHA TUMAINI DSM...
nakumbuka Mungu aliniwezesha kunipatia marafiki wengi sana akiwemo Godwin Gondwe, Paul Mngngo, James Mwangamba, Robert Raphael, Emmanuel Seme, Joseph Msami, Ndganza Mzonya, Shadrack Mkama, Isaac Gamba, Haris Kapiga, Ambele Chapa Nyota, Fredy Kameta na wengine wengi sana ambao walikua wakinitia Moyo sana wakati wote wa kusoma kwangu..

GONDWE NDIO RAFIKI ALIYENISHAURI NISOME TUMAINI UNIVERSITY.. HAPA AKIFURAHI NAMI SIKU YA GRADUATION YANGU

Sasa kilichinivutia sana ni hiki hapa..... Ndoto yangy na safari yangu ya SIASA NA Kupenda kuwa Raisi ikaanza kustawi kwa kasi kubwa sana... nilikwa O Level nakumbuka nilishinda nafasi ya HEAD PREFECT kwa asilimia zaidi ya 90 TOFAUTI NA mpinzani wanu, nikiwa CHUO KIKUU PIA niliwashinda wapinzani wangu wawil na kuweka HISTORIA YA KUWA RAISI WA KWANZA KUGOMBEA NA KUWASHINDA Wagombea wa LLB chuoni kwangu ambao ndo walikuwa wakigombea na kushinda kila mwaka..

Nilpokuwa RAISI wa Chuo pia nilijiandaa kugombea nafasi RAISI WA MARAISI WA VYUO VIKUU na badaye Rafiki yangu kipenzi NOEL KATONGO akaniomba nimuachie agombee hasa baada ya kuona mguso niliokuwa nao kwa maraisi wengine... lakini sikuishia hapo nikapata nafasi ya kuwa COMMISSIONER wa TAHLISO  NA KUONGOZA MIKA YA DSM, MOROGORO, TANGA, LINDI NA MTWARA..

kwa upande wa huduma za kiroho pia niliweza kuwa RAISI WA CASFETA TANZANIA kwa miaka miwili mfululizo, makamu wa raisi kwa mwaka mmoja na Katibu mkuu kwa mwaka mmoja
na kwa sasa ni Chair man wa vijana wa City Harvest... na Rais wa CASFETA ASSOCIATES Tanzania...


NIKIMALIZA KUENDESHA SHUGHURI YA MH. WILLIAM LUKUVI WAZIRI.

AFTER SERVICE NA MH. MBUNGE NAOMI KAIHULA..(CITY HARVEST)

MBEYA HIGH SCHOOL.. KIDATO CAH SITA MWAKA 2007.. NIKITAFAKARI MAISHA YANGU CHUO KIKUU YATAKUWAJE?

NIKITOA SPEECH BAADA YA KUCHANGISHA PESA ZA KUWASOMESHA WANAFUNZI WANAOTOKA KTK FAMILIA ZISIZO NA KIPATO.. CCC 
kwa hiyo maombi ya wapenda maono nayahitaji sana ili ndoto yangu ije kuwa kweli siku za usoni....... naomba kuwasilisha

Friday, November 2, 2012

OBAMA HAS EARNED 2ND TERM AS U.S. PRESIDENT



TWO ROCKS WAITING FOR THE MASS DECISION...

For sound, fury and partisan rancour, nothing beats an American presidential election. As Campaign 2012 grinds to a photo-finish, only Hurricane Sandy managed, momentarily, to out-howl the attack ads.

Mitt Romney’s stunning dismissal of half the electorate as self-pitying freeloaders who depend on the dole set the standard for cringe-inducing moments. “My job is not to worry about those people,” he told a private, $50,000-a-plate Republican fundraiser, with a candour that speaks to America’s corrosive ideological divide. Clint Eastwood’s oddball rambling chat with an empty chair was also a windfall for the Democrats, as were Romney’s professed love for Big Bird, and his “binders full of women.”
But Republicans, too, made hay from President Barack Obama’s unwise musing that “If you’ve got a business — you didn’t build that.” They tore the remark out of context and paraded it as an ugly Big Government sneer at the sacred icon of American entrepreneurship.
Much of it was a “bunch of malarkey,” as Joe Biden might have said (and did), fodder for a $2.5-billion tsunami of negative advertising, personal slurs and dark half truths and evasions.
Still, the U.S. presidency matters, and the contrasts between Obama and Romney are significant, nowhere more so than in their respective approaches to the key issue in this campaign: the economy. Americans face a “big choice,” as Romney put it. And on that score alone, Obama stands head and shoulders above his rival.
At root, Obama is a principled pragmatist who favours moderately activist government. He wisely flexed federal taxing and spending power to hold the U.S. back from the economic abyss after Wall Street’s meltdown in the first days of his mandate, and to help spur growth and restore lost jobs. With an eye to the corrosive rich-poor divide, he wants the wealthiest and corporations to forgo some tax breaks to help bankroll modest stimulus and preserve core services to the vulnerable, as Washington pares military and other spending to tame the deficit. And he brought in progressive health-care reform that would benefit millions.
Romney, in contrast, spent much of the campaign shape-shifting, trying to shuck his self-described “severely conservative” Tea Party affiliation and rebrand himself, improbably, as a Ronald Reagan-style sunny optimist and compassionate conservative. He argues that smaller government, deregulation, major tax cuts and severe spending reductions (except for defence) are the way to spark growth and curb the deficit, an approach that has been tried before, without success. It’s an agenda that promises to enrich the wealthiest while cutting programs that help the poor. The Republicans would also repeal Obama’s health reforms. There’s a severe risk in all this of slowing growth, driving up unemployment and fraying social services. Leading economists also say Romney’s numbers don’t add up.
For most Canadians, indeed most of the world, the choice couldn’t be clearer. A British Broadcasting Corp. poll in 21 countries found a 5 to 1 preference for Obama. But Americans are harsher in their judgment.
Many credit Obama, rightly, with averting another Great Depression. For ending George W. Bush’s misguided war in Iraq, winding down the Afghan conflict, killing Osama bin Laden and kneecapping Al Qaeda. And for supporting Arab Spring democratic reformers.
But many also rate Obama poorly — and less fairly — on the slow pace of recovery and for failing to sell his agenda. Romney and his team have put forward no credible recovery plan of their own, and have been obtusely obstructionist in Congress. Still, their promise of “real change” sounded good at a time when the nation’s growth is a sluggish 2 per cent, household incomes have fallen, and a jobless rate of 7.9 per cent has left 12 million without work. The Republicans also blamed Obama for the deficit and debt, though they rang up much of it.
Even so, in many hearts grudging respect for Obama is at war with an impatient yearning for better days.
More than most of America’s partners, Canadians have a stake in the outcome. While Prime Minister Stephen Harper’s Conservative government might feel ideologically closer to the Republicans, Obama has performed credibly, and has set the U.S. economy back on the path to recovery. Romney offers no real plan to accelerate that gain.
As Star columnist Tim Harper has recently written, Canada could be badly side-swiped unless the next occupant of the Oval Office brokers a deal in Congress to avoid the looming “fiscal cliff” of mandated tax increases and spending cuts next year. That could pare America’s output by more than 4 per cent, shake U.S. consumer confidence and eat into our $550-billion two-way trade, hammering our economy in the process. On that file, Obama is the more credible advocate of the balanced approach that would be to our benefit.
Canadians should also be concerned that efforts on Obama’s watch to expedite Canada-U.S. cross-border travel and trade — the Beyond the Border initiative to ease U.S. security fears — might be stalled by a change in administration. There is also Canada-U.S. energy trade to consider. For political reasons, Obama put the $7.6-billion TransCanada Keystone XL pipeline on hold. But he is not opposed in principle to the project.
Torn as Americans are, Obama has averted economic crisis, rung down the curtain on war and shown compassion for the vulnerable. He has earned a second term. By the help of internet...

Thursday, November 1, 2012

PROFF. RWEBANGIRA NA DR. SOKILE KUPIKA WANAVYUO

Wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini wametakiwa kuhudhulia Semina ya siku moja inayotambulika kwa jina la CAMPUS LIFE AND ACADEMIC EXCELLENCE SEMINAR, semina hii imeandaliwa na KANISA LA CITY HARVEST DAR. akiongea na Viongozi wa CU mbalimbali zilizohudhulia Dinner Kanisani hapo hivi karibuni Mchungaji Yared Dondo alisema kwa sababu ya maono ya CITY HARVEST ni kuwafikia na kuwasaidia wanavyuo wa Tanzania ndo maana ameona kuna haja ya kuandaa semina kama hizi ili kuwasaidia kufanya vizuri nkatka masomom yao ili waje kuwa watumishi wazuri wa serikali pamoja na Kanisa siku zao za Usoni.

naye Proff. Rwebangira alikazia kwa kusema maisha yake mengi ameishi chuo kikuu cha Dar es salaam kama mhadhili chuoni hapo kwa hiyo ana siri nyingi zinazoweza kumasidia mwanafunzi kufanya vizuri katika misha yake na masomo awapo Chuoni.DR. Kipilimba ambaye naye pia ni Associate Pastor wa City Harvest alisema pamoja na kusoma kwa bidii sana lakini bila kumcha na kumtanguliza Mungu katika masomo yetu ni bure kabisaa..


TANGAZO LA CAMPUS LIFE NA ACADEMIC EXCELLENCE SEMINAR 

Lawrence Mwantimwa CAMPUS CO-ORDINATOR wa CITY HARVEST aliwsisitizia Viongozi hao kuwa     City Harvest ni kama mfadhili tu wa hiyo semina na wahusika wakuu ni wanafunzi wenyewe pamoja na viongozi wao kwa hiyo ushiriki wao ni wa muhimu sana na ufikishwaji wa taarifa kwa wanafunzi unategemea sana ushiriki wao..

SEMINA HIYO YA CAMPUS LIFE AND ACADEMIC EXCELLENCE SEMINA itafanyika siku ya jumamosi tarehe 4 November katika ukumbi wa CIY HARVEST MABIBO GARAGE ILIPO VICTORIA PETROL STATION..CalL 0713 22 68 08..


Sunday, September 16, 2012

WANAWAKE WA CITY HARVEST WAVUNJA UKIMYA

Wanawake wa Kanisa linalokua kwa kasi la CITY HARVEST ambalo ni mahususi kwa Wanataaluma vijana na wanafunzi wa Vyuo wameendesha ibada leo kanisani hapo na kuacha historia kubwa.. akihubiri katika ibada hiyo Mama Askofu Masawe amesema wanawake ni watu wa muhimu sana katika jamii kwani hata wafalme walipokuwa na matatizo walikuwa wakiwauliza wanawake.

Pia amesema hata Yesu alifutwa miguu yake kwa nywele za mwanamke pia siku anafufuka alionwa kwanza na wanawake.. hata hivyo akiendelea kuhubiri alisema wanawake wanatakiwa kuwa watiifu kwa waume zao kwani ndivyo walivyoagizwa na Mungu,

Wakati akiendelea kuhubiri akagusia kitu kimoja ambacho ni muhimu sana kwa kanisa kwamba Kanisa likiwa na wanawake waliojitoa kwa huduma linaweza kufika mbali na kuwa na Nguvu ya Mungu kwani wanawake wakiomba Mungu anajibu maombi,

Baadaye Mchungaji kiongozi wa kanisa hilo Yared Dondo akihitimisha ibada hiyo iliyokuwa imejaa Nguvu ya Mungu tangu wakati wa ibada ya kusifu na kuabudi hasa wakati Mwimbaji wa kikundi cha kusifu na kuabudu Upendo Chavala alipoimba wimbo wa HE HAS GIVEN ME VICTORY ambapo wazee wa kanisa na wachungaji waliishiwa na uzalendo na kujikuta wote wamejaa mbele na kucheza, Pastor Dondo alisema tangu kanisa hili lilipoanza pale ndani ya Mlimani City wanawake wa City Harvest walikuwa wakiomba kila siku ya Jumamosi pale Church Ofice Mwenge na anachokiona sasa anaamini ni matokeo ya maombi yale.

Wanawake wa City Harvest walimpatia zawadi mama askofu pamoja na kutoa zawadi kwa kanisa ambayo kwa niaba yake walimkabidhi mchungaji kiongozi Yared Dondo.

habari hii imeandaliwa na the blogger Lawrence Mwantimwa..

TUPATE HABARI ZAIDI KATIKA PICHA..

PASTOR BETHA KIPILIMBA AKIMKABIDHI ZWADI MHUBIRI MRS. ASKOFU MASAWE


SIFA IKAZIDI KUCHANGANYA WEE.. IKAWA HOT ZAIDI


HAYA MBUNGE TO BE





MHUBIRI AKAKAMATA MADHABAHU

WANAWAKE WA CITY HARVEST WAKAOMBEWA MA MAMA ASKOFU

UPENDO CHAVALA BINTI WA YESU AKASIMAMA NA KUSOMA POEM I
LIYOWAGUSA WATU WENGI SANA NA ALIISOMA KWA
USTADI WA HALI YA JUU MNO...





PATOR DONDO AKIKABIDHIWA ZAWADI TOKA KWA AKINA MAMA


SIFA IKACHANGANYA WATU GAFLA WAKAJAA MBELE






HAPA WANA MUSIC GEBO, JONAS NA TITO WAKIWA SUPPORT
 WAKINA MAMA 


PRAISE TEAM WAKIJIACHIA MBELE ZA BWANA

THE BLOGGER LAWRENCE MWANTIMWA NA ANDE
WAKIJIHUSISHA IN GOD'S PRESENCE

MEZA KUU TOKA KULIA NI PASTOR KIPILIMBA, BERTHA, MRS BISHOP MASAWE
PASTOR MATILDA, YARED, MAGDALENA NA PASTOR PROF. RWEBANGIRA


HAPA SIJUI HATA ILIKUWAJE ?

THE BLOGGER NAYE HUYOO MBELE AKIJICHANGANYA NA
WAPENDWA WENGINE






PPAISE TEAM YA WANAWAKE WOTE WA KANISA
IKASIMAMA KUIMBA TENZI


Sunday, August 26, 2012

ANDIKA COMPETITION IN THE CITY

ANDIKA COMPETITION -- Mradi wa kusaka waandishi wenye vipaji vya kuandika waanzishwa kwa kishindo Tanzania.

Je, Unaweza kuandika mashairi ya aina yoyote, hadithi ya kubuni, hadithi ya matokeo ya kweli (nonfiction) au maandishi ya dini na
kuamashisha?

Njoo ushiriki katika shindano la Andika Competition na ujishindie million 3 fedha taslimu na zawadi mbalimbali kama laptops.

utarusiwa kuandika katika kiswahili au kiingreza na umri wa kushiriki kwenye shindano ni miaka 13 hadi 36

shindano hili la aina yake litafanyika katika jengo la Taasisi ya watu wazima Dar es Salaam karibu na kituo cha Akiba Posta mpya tarehe 21 mwezi wa 10 2012 kwanzia saa 2 asubuhi.

Fomu za kujiunga zinapatikana kwa shillingi 15,000 tu. WAHI UJISAJILI SASA
wasiliana na Lawrence Mwantimwa mratibu wa shindano..0713 22 68 08/ 0767 22 68 08/ 0782 22 68 08, zawadi zitakazotolewa ni pamoja na sh. 3Ml. 2Ml. 1Ml na zingine nyingi kama Laptops na Vitabu

Sunday, July 22, 2012

LOOK GOOD WITH T-SHIRT? Call 0713226808

Naamin hii utaipenda unles otherwise. ukitaka kununua check na numbers above

Hapa anasema sijakamilika jamani nimesamehewa tu.

Pendeza ndugu usingoje umri uende huu ndio muda wakooo. order now

hapa ni kama anamwambia the Blogger kwamba apa vp?

haya mmezoea tu mambo ya facebook sasa ni mambo ya FaithBook yaani kitabu cha Imani ikimaanisha Bible

Dorothea katika Pozi ndani ya products za Billionaire Printers, hii ni moja ya mapozi yake elfu tatu aliyonayo.

Kutana na Mrembo Dorthea Osima ambaye ni Mjumbe wa Bidhaa za Billionaire Printers. ni Mwanafunzi wa Shahada ya kwanza ya Biashara yaani BBA ya chuo kikuu cha Tumaini Dar es Salaam, akiwa ni mwenyeji wa Arusha Tanzania amechagua kuwa mwakilishi  wa Billionaire Printers Products Tanzania.