MC ON THE MOVE... BOOK HIM 0712226808

MC ON THE MOVE... BOOK HIM 0712226808
FOR YOUR WEDDING, SENDOFF, CRUSADE FUND RISING EVENT.CALL 07132268

Friday, June 8, 2012

lawrence the President: Obama abanwa na mpinzani wake kisiasa

lawrence the President: Obama abanwa na mpinzani wake kisiasa: face book Raisi Barack Obama amepata wakati mgumu kutoka kwa wapinzani wake kisiasa hasa pale aliposema Sekta binafsi inafanya vizuri kisias...

Obama abanwa na mpinzani wake kisiasa

face bookRaisi Barack Obama amepata wakati mgumu kutoka kwa wapinzani wake kisiasa hasa pale aliposema Sekta binafsi inafanya vizuri kisiasa, inawezekana hii ikawa siraha yake kubwa sana wakati huu kuelekea uchguzi wa Marekani

never miss this mega event to take place at Jangwani

jitahidi kutokosa tukio hili la kihistoria kuwahi kutokea hapa DSM, ni ujio wa Mtumishi wa Mungu Andrew Palau jijini Dar es Salaaam, patakuwa hapatoshi aisee

LOVE TANZANIA FESTIVAL

facebook


LOVE TANZANIA FESTIVAL


Karibuni katika blog mpya kabisa ambayo itakua ikikuletea mambo mbalimbali ya kijamii, kisiasa, uchumi, Dini na mambo mengi yanayofanana na hayo. hii ni baada ya kuona uhitaji mkubwa wa taarifa muhimu kwa jamii hasa ya wanaotumia vizuri maendeleo ya science na technology katika kujipatia taarifa muhimu kila siku. na pia unakaribishwa kwa maoni na mitazamo tofauti kuhusu mambo yanavyoenda katika jamii uliyopo na kitaifa kwa ujumla.

Lawrence Hodges Mwantimwa ( the President)