Kumetokea milipuko ya
Makombora Nchini Islael yanayosemekana kwamba yameua waisrael watatu, hayao
yamesemwa hivi karibuni na serikali ya Nchi hiyo yenye ugonvi wa muda mrefu
sana na Palestina…waisraeli hao watatu wameuwawa baada ya kombora rlililofyatuliwa kutoka Ukanda wa Gaza
kutua karibu na makazi ya raia hao
Inasema kombora hilo
liliangukia jengo moja la ghorofa la makaazi mjini... Kiryat Malachi, kusini
mwa Israel.
 |
KOMBOLA LIKIRIPUKA KATIKATI YA MAJENGO NA MAKAZI YA WATU
|
Kumetokea milipuko ya Makombora Nchini Islael yanayosemekana kwamba yameua waisrael watatu, hayao yamesemwa hivi karibuni na serikali ya Nchi hiyo yenye ugonvi wa muda mrefu sana na Palestina…waisraeli hao watatu wameuwawa baada ya kombora rlililofyatuliwa kutoka Ukanda wa Gaza kutua karibu na makazi ya raia hao
Inasema kombora hilo liliangukia jengo moja la ghorofa la makaazi mjini... Kiryat Malachi, kusini mwa Israel.
 |
LIKIRUSHWA HEWANI NA KUELEKEA LITAKAPOTUA
|
Awali, inasemekana Wapelestina watatu waliuwawa katika shambulizi la ndege za jeshi la Israel dhidi ya Gaza.
Mwandishi wa BBC aliyeko Gaza anasema kuwa aliona moshi wa makombora yanayorushwa
 |
| HALI NI TETE KATIKATI YA MJI WA
Kiryat Malachi, kusini mwa Israel. |
Mashambulizi haya yametokea baada ya Israel kumuua kiongozi mmoja wa kijeshi wa Hamas, Ahmed Jabari, pamoja na watu wengine 10 Jumatano.
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lakutana
Nalo Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limefanya mkutano wa dharura mjini New York ili kujadili mapigano hayo.
Rais wa baraza hilo, Hardeep Singh Puri wa India, alisema kwamba ni sharti mapigano hayo yakomeshwe mara moja.
Nchi za Kiarabu zilitaka baraza hilo liishtumu Israel, lakini Marekani ikasema kuwa Israel ilikuwa na haki ya kujihami dhidi ya makombora yanayorushwa na Wapelestina
 |
WAZIRI MKUU AKIONGEA OFISINI KWAKE
Awali, inasemekana Wapelestina watatu waliuwawa katika shambulizi la ndege za jeshi la Israel dhidi ya Gaza.
Mwandishi wa BBC aliyeko Gaza anasema kuwa aliona moshi wa makombora yanayorushwa.
|
Mashambulizi haya yametokea baada ya Israel kumuua kiongozi mmoja wa kijeshi wa Hamas, Ahmed Jabari, pamoja na watu wengine 10 Jumatano.
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lakutana
Nalo Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limefanya mkutano wa dharura mjini New York ili kujadili mapigano hayo.
Rais wa baraza hilo, Hardeep Singh Puri wa India, alisema kwamba ni sharti mapigano hayo yakomeshwe mara moja.
Nchi za Kiarabu zilitaka baraza hilo liishtumu Israel, lakini Marekani ikasema kuwa Israel ilikuwa na haki ya kujihami dhidi ya makombora yanayorushwa na Wapelestina.
Source......gospelemmanuel.blogspot.com